Back to home

Kakamega: Wanawake amabo hawakufanikiwa kupata mtoto/watoto kwenye ndoa wanataka serikali iwatambue

video
N
NTV Kenya (Youtube)
October 9, 2025
4h ago
Kundi moja la wanawake wakiwemo maajuza pamoja na wazee ambao wameoa ila hawakufanikiwa kupata mtoto/watoto kwenye ndoa zao limeitaka serikali kuhakikisha kuwa linawatambua na kuwaweka miongoni mwa watu wanaoishi na changamoto za ulemavu nchini Subscribe to NTV Kenya channel