Back to home

Israel na hamas zakubaliana mpango wa kusitisha mapigano Gaza, mateka na wafungwa kuachiliwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 9, 2025
4h ago
Israel na Hamas zimekubaliana kuhusu awamu ya kwanza ya mpango wa kusitisha mapigano katika eneo la Gaza. Mpango huo unahusisha kuachiliwa kwa mateka wote walioko Gaza na baadhi ya wafungwa wa palestina wanaozuiliwa israel pamoja na Israel kuanza kuondoa majeshi yake kutoka Gaza