Back to home
Wakaazi wamtaka Polisi aliyemkamata kijana mtaa wa Saika kufichua aliko wiki sita baadae
video
C
Citizen TV (Youtube)October 9, 2025
1mo ago
Kitendawili cha kutoweka kwa kijana kutoka mtaa wa saika hapa Nairobi kwa wiki sita sasa bado hakijapata jibu. Charles Ndungu alitoweka baada ya kukamatwa na polisi mtaano humo. Sasa wakaazi wa eneo hili wanataka majibu kutoka kwa polisi kuhusu aliko ndung'u zaidi ya mwezi mmoja
Families and Residents Appeal for Intervention in Separate Disappearances - October 2025
Appeals are being made to authorities over multiple, separate disappearances. The family of Nicholas Oyoo is appealing to the Ugandan government for his release after he and his colleague Bob Njagi were abducted in Kampala. The two went missing on October 1st, and the Kenyan government is also being urged to intervene in their disappearance. In a separate case, residents of Saika, Nairobi are demanding answers about the whereabouts of a young man, Charles Ndungu. He was arrested by police six weeks ago and has not been seen since.
Serikali yaombwa kuingilia kati baada ya kutoweka kwa Oyoo na Njagi
KTN News (Youtube)
Video
Familia ya Oyoo yairai serikali ya Uganda kumwachilia
Citizen TV (Youtube)
Video
3 stories in this topic
View Full CoverageAdvertisement


