Back to home

Wakulima wasambaziwa mbegu za nafaka na kupewa mafunzo katika kaunti ya Tharaka Nithi

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 10, 2025
4h ago
Serikali ya kaunti ya Tharaka Nithi imeendeleza mpango wa kutoa mbengu kwa wakazi katika msimu wa mvua, ikiwa njia moja ya kuhakikisha uwepo wa vyakula na kupambana na njaa. Mpangilio huo wa kutoa mbegu uko katika muhula wa 11.