Back to home

Huenda kukafanyika mabadiliko katika baraza la mawaziri yanayolenga kumuingiza Gideon Moi serikalini

video
N
NTV Kenya (Youtube)
October 11, 2025
6h ago
NTV imebaini kwamba huenda kukafanyika mabadiliko mengine katika baraza la mawaziri yanayolenga kumuingiza kiongozi wa chama cha KANU Gideon Moi katika serikali jumuishi inayoongozwa na Rais William Ruto. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyd