Back to home
Mwenyekiti wa NPSC Amani Komora asema mvutano kati ya mkuu wa polisi na NPS utatatuliwa
video
N
NTV Kenya (Youtube)October 11, 2025
3w ago
Mwenyekiti wa tume ya huduma za polisi NPSC, Amani Yuda Komora, amesema kuwa katu hakutashuhudiwa mvutano au mgawanyiko baina ya tume yake na usimamizi wa huduma wa polisi, kuhusu uajiri wa maafisa elfu kumi pindi mahakama itakapotoa ruhusa ya kuendelea kwa shughuli hiyo.
Subscr





