Back to home

Ruto aahidi Kenya kufikia viwango vya maendeleo ya Uchina na Singapore kufikia 2055

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 12, 2025
2h ago
Rais William Ruto sasa anasema Kenya itafikia viwango vya kimaendeleo ya mataifa ya Uchina na Singapore mwaka wa 2055, akisema anaendelea kuungana na viongozi wakuu nchini kuhakikisha taifa la Kenya linapanda ngazi hiyo.