Back to home

Viongozi wa Kenya Kwanza wataka ushirikiano wa kitaifa kufanikisha miradi ya serikali

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 12, 2025
3h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza wameelezea azma yao ya kufanya kazi na wakenya wote ili kufanikisha miradi ya serikali. Wakizungumza katika hafla mbali mbali viongozi hao walipigia debe muungano baina ya rais William Ruto na kiongozi wa KANU Gideon Moi ambao walisema ni hatua ya kwanza