Back to home
Gavana Fatuma Achani azindua miradi ya maji Kinango
video
C
Citizen TV (Youtube)October 13, 2025
2h ago
Gavana wa Kwale Fatuma Achani amefungua rasmi kisima cha maji kilicho na mtambo wa kusafisha maji ya chumvi cha Shirika la kijamii la Masowatt huko Kilibasi pamoja na usambazaji wa mabomba ya maji ya Mtulu kwenda Mwakunde, Mwanzungu na Magalani huko Kinango.