Back to home
Mtu mmoja aliuawa kwenye mzozo wa ardhi machakos
video
C
Citizen TV (Youtube)October 13, 2025
2h ago
Mtu mmoja alipigwa risasi na kuuawa eneo la Katani kaunti ya Machakos kwenye mzozo wa ardhi ambao pia ulisababisha kujeruhiwa kwa watu wengine wawili.
Samuel Muiruri Maina alipigwa risasi kufuatia tofauti kati ya mtu anayedai umiliki wa ardhi na kundi la vijana eneo hilo