Back to home

Magavana wamkumbuka Raila Odinga kama shujaa wa ugatuzi na kuapa kuendeleza nyayo zake

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 16, 2025
2h ago
Magavana pia leo wameendelea kumkumbuka Raila Odinga wakimtaja kama shujaa aliyepigania ugatuzi hadi mwisho wake. Mwenyekiti wa baraza la magavana Ahmed Abdullahi kwenye kikao na wanahabari amesema magavana wameazimia kuendelea kutoaheshima zao kwa kuheshimu kumbukumbu na nyayo z