Back to home
Rais Ruto atoa ahadi kwa wakazi Ukambani sikukuu ya Mashujaa
video
C
Citizen TV (Youtube)October 21, 2025
4h ago
Rais William Ruto alitumia sikukuu ya mashujaa kutoa ahadi za kumaliza miradi ya maendeleo maeneo ya ukambani, akiahidi ujenzi wa barabara, mabwawa na kuimarisha kilimo. Akiwahutubia maelfu ya wakaazi wa eneo hili, rais aliwakosoa wanasiasa wa upinzani kwa kukosa mpango na kuende