Back to home

Wananchi wa kijiji cha Raap wameanza safari ya kurejesha ardhi yao ya malisho

video
N
NTV Kenya (Youtube)
October 23, 2025
1d ago
Wananchi wa kijiji cha Raap, wadi ya Oldonyiro katika Kaunti ya Isiolo wameanza safari muhimu ya kurejesha ardhi yao ya malisho iliyoharibika vibaya kutokana na mmomonyoko mkali wa udongo uliosababisha mashimo makubwa ya ardhi. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenya