Back to home

Rais William Ruto atetea kutia kwake saini sheria kuhusu mitandao

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 24, 2025
13h ago
Rais William Ruto amewaonya baadhi ya Wakenya anaosema wanaeneza uongo na uvumi kuhusu sheria mpya ya kudhibiti utumizi wa mitandao. Rais akisema sheria hiyo inalenga kuzuia ugaidi, mahubiri potovu na mitandao ya ngono nchini. Akizungumza kaunti ya Laikipia, Rais Ruto aidha alika