Back to home
Wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma wahangaika baada ya mgomo wa wahadhiri
video
C
Citizen TV (Youtube)October 25, 2025
2d ago
Wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma nchini wanaitaka serikali kuwajibika na kutatua maswala yaliyochangia mgomo wa wahadhiri ambao umefikia siku ya 40 hii leo. Baadhi ya wanafunzi wamelazimika kutafuta vibarua ili kujikimu kutokana na hali ngumu ya kusalia chuoni bila masomo wengi w





