Back to home
Familia za waathiriwa wa ajali ya Keroka waomboleza huku wakitaka barabara hatari kushughulikiwa
video
C
Citizen TV (Youtube)October 28, 2025
3w ago
Familia za watu watano walioaga dunia kwenye ajali ya barabarani eneo la Keroka kaunti ya Kisii wameendelea kuomboleza jamaa zao huku wakianza maandalizi ya mazishi. Wakaazi wanaoishi maeneo kulikotokea ajali sasa wakisema barabara hiyo imechangia vifo vya watu 20 katika siku za





