Back to home

Mudavadi ashinikizwa kujiuzulu kwa kisa cha wakenya Uganda

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 4, 2025
3h ago
Makundi ya haki za binadam sasa yanamtaka mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi na balozi wa Kenya nchini Uganda kujiuzulu kwa utepetevu wao kuhusu wakenya wawili wanaoendelea kuzuiliwa nchini Uganda. Wanaharakati hawa wanadai kuwa Bob Njagi na Nicholas Oyoo wako katika hali mbaya ya