Back to home

Wakenya wahimizwa kushiriki zoezi la kupanda miti Ijumaa

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 8, 2025
2h ago
Wakenya wameombwa kurudi katika shule za msingi walizosomea siku kuu ya Mazingira ambayo ni Ijumaa, ili kufanikisha shughuli za upanzi wa Miche ya matunda kwa ufadhili na upanzi wa Miche ya matunda milioni 100. Shughuli hiyo ya upanzi wa miti itaongozwa na maafisa wa serikali wa