Back to home

Wahadhiri na wafanyikazi wa JKUAT wajihusisha na michezo ya ziada

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 8, 2025
2h ago
Wafanyakazi na wahadhiri wa chuo kikuu cha Jomo Kenyatta walitumia siku yao kucheza na kujifurahisha katika uwanja wa mahafali huku mgomo wa wahadhiri ukiingia mwezi wa pili. Aidha wahadhiri wanaishinikiza serikali kuwalipa shilingi bilioni 7.9 kulingana na mkataba wao wa maelewa