Back to home
Wanafunzi wa waliomaliza KPSEA na KJSEA washauriwa Nakuru
video
C
Citizen TV (Youtube)November 5, 2025
3h ago
Siku mbili baada ya watahiniwa wa gredi ya 9 kukamilisha mitihani yao ya kitaifa, watahiniwa zaidi ya elfu tatu walikutana katika kanisa la kiangilikani jijini nakuru kwa ushauri nasaha.





