Back to home

Serikali imesambaza shilingi bilioni 1.1 kwa shule hewa, shule 10 zafungwa, 934 zikisubiri msasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 5, 2025
1h ago
Serikali imekiri kuwa imesambaza shilingi bilioni 1.1 kwa shule hewa nchini. Akizungumza bungeni kuhusiana na fedha za kufadhili masomo katika shule za umma, waziri wa elimu Julius Migos Ogamba amesema kuwa shule kumi zimefungwa kwasababu ya kutokuwa na wanafunzi wa kutosha, huku