Back to home

Serikali ya Sudan yaunga mkono uchunguzi wa ICC kuhusu maafa Darfur

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 5, 2025
1w ago
Serikali ya Sudan inaunga mkono uamuzi wa Mahakama ya kimataifa ya ICC ya kuanzisha uchunguzi wa maafa yanayoendelea katika jimbo la Darfur, nchini Sudan. Aidha, balozi wa Sudan nchini Kenya Mohammed Osman amesema kwamba serikali ya Sudan itawasiliana na Kenya kidiplomasia kusaid