Back to home
Wakulima wa miwa wanadai kushurutishwa kupeleka miwa yao Nzoia
video
C
Citizen TV (Youtube)November 6, 2025
2h ago
Wakulima wa miwa kutoka eneo Bunge la bumula katika kaunti ya Bungoma sasa wanaitaka serikali kuingilia Kati Na kutatua zogo linalokumba sekta hiyo.





