Back to home

Mashirika ya kutetea haki za binadamu yakashifu mauaji Tanzania

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 7, 2025
2mo ago
Makundi ya kutetea haki za binadamu yamelishutumu serikali ya Kenya kwa kimya kirefu kuhusu mauaji na mateso yanayowakumba Wakenya katika mataifa ya kigeni. Wakati huo Familia ya Ogutu aliyeuawa nchini Tanzania imelilia serikali ya Kenya na Tanzania kuwa na utu na kuchukua hatua

More on this topic

Kenyan Government Investigates Killing of John Ogutu in Tanzania Amid Post-Election Unrest - November 2025

The Kenyan government confirmed that a Kenyan national, John Ogutu, was killed in Tanzania during post-election unrest and has launched an investigation to provide answers to his family. Principal Secretary Raymond Omollo announced that authorities are seeking to understand the circumstances surrounding the death and ensure justice is served. This comes as human rights organizations criticize the Kenyan government for its silence on the issue and pressure mounts on Tanzania to account for other Kenyan citizens who went missing after the general election. The family of Ogutu has appealed to both governments for intervention. Reports also suggest Kenyans residing in Tanzania feel like "marked people" and are being targeted for alleged involvement in recent protests.

7 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement