Back to home
Waziri wa kilimo Mutahi Kagwe awaonya wanaoingiza siasa kwenye sekta ya chai
video
C
Citizen TV (Youtube)November 7, 2025
3h ago
Waziri wa Kilimo Mutahi Kagwe, amewataka viongozi wa kisiasa kukoma kutumia bei ya majani chai kama silaha ya kisiasa akisema changamoto zilizopo katika sekta ya majani chai ni za kiufundi na zinahitaji suluhu za sera na kuboresha ubora wa mazao. Kagwe amesisitiza kuwa wakulima w




