Back to home

Msako wa pombe haramu waendelea Nandi siku 4

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 10, 2025
3h ago
Kwa siku ya nne mfululizo Mamlaka ya Kitaifa ya NACADA imeendeleza msako wa pombe haramu katika Kaunti ya Nandi. Hatua hii inafuatia ripoti zinazoonyesha kuongezeka kwa matumizi ya vileo na dawa za kulevya katika eneo hilo.