Back to home
Viongozi wa kiislamu katika Kaunti ya Nandi wamtaka mwenyekiti wa SUPKEM Hassan Ole ajiuzulu
video
C
Citizen TV (Youtube)November 13, 2025
1h ago
Viongozi wa Kiislamu katika Kaunti ya Nandi wanamshinikiza mwenyekiti wa SUPKEM Hassan Ole naado ajiuzulu mara moja. Hii ni baada ya kunaswa kwenye kamera za CCTV akifyatua risasi kuelekea kwa waandamanaji waliokuwa wakipinga uongozi wake. Wakizungumza katika Msikiti wa Jamia, hu





