Back to home
Miaka 20 ya ODM yaadhimishwa huku mipasuko ikipuuzwa
video
C
Citizen TV (Youtube)November 16, 2025
4h ago
Viongozi wa odm leo wamefanya maombi maalum kaunti ya Kilifi, wakihitimisha hafla za kuadhimisha miaka ishirini ya chama hicho. Hayo yanajiri huku waanzilishi wa chama hicho wakiongozwa na Rais William Ruto wakikongamana jana usiku kwa maankuli ya pamoja kukumbuka kubuniwa kwa ch





