Back to home
Wanachama wa shamba la Keekonyokie wapokea barua za ardhi hiyo baada ya mizozo ya miaka
video
C
Citizen TV (Youtube)November 18, 2025
1h ago
Wanachama wa shamba la Keekonyokie la ekari 2800 huko kajiado magharibi, wamepokea zaidi ya barua 4,600 za ardhi hiyo baada ya mizozo ya miaka mingi. Mwenyekiti wa shamba hilo Moses Ole Palantai amesema zaidi ya wakazi elfu moja watapokea ekari moja kila mmoja, huku baadhi wakipa




