Back to home

Mawakili waliokamilisha masomo yao kuanza kazi rasmi

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 20, 2025
2h ago
Hafla maalum ya kuapishwa rasmi kwa mawakili wapya inayoongozwa na jaji Mkuu Martha Koome inaandaliwa hii leo katika mahakama ya upeo. Mawakili 920 wanakula kiapo maalum na kisha wataorodheshwa rasmi kama mawakili waliokamilisha mafunzo na kufuzu kutekeleza majukumu yanayoambatan