Back to home
Miche ya mihogo yazalishwa kupitia teknolojia katika makala ya kilimo biashara
video
C
Citizen TV (Youtube)November 20, 2025
2h ago
Uzalishaji wa miche ya mhogo isiyo na magonjwa umepigwa jeki kupitia teknolojia ya kisasa ambapo mizizi ya miche hiyo inakuzwa bila kutumia mchanga. Shirika la Utafiti wa Kilimo na Mifugo, KALRO, linasema mbinu hii inaweza kubadilisha kabisa uzalishaji wa mihogo kwa kuongeza kasi

![MASKANI | Hotuba ya Rais kwa taifa [ Part 2]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/MASKANI-Hotuba-ya-_1763631276-16x9.jpg)



