Back to home
Anthony Otieno mhudumu wa kuwasilisha bidhaa za mtandaoni auwawa mtaani South B
video
C
Citizen TV (Youtube)November 20, 2025
2h ago
Polisi wanachunguza kisa ambapo mhudumu mmoja anayefanya kazi ya kuwasilisha bidhaa zilizonunuliwa mtandaoni alipatikana ameuwawa kikatili mtaani South B, hapa Nairobi. Mwili wa Anthony Otieno ulipatikana chini ya kitanda katika jengo moja mtaani humo, ukiwa na damu nyingi na ume

![MASKANI | Hotuba ya Rais kwa taifa [ Part 2]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/MASKANI-Hotuba-ya-_1763631276-16x9.jpg)



