Back to home
Shirika la kupambana na dawa za kusisimua misuli yawasihi wanariadha kutotumia dawa zisizorasimishwa
video
C
Citizen TV (Youtube)November 20, 2025
4h ago
Shirika la kupambana na dawa za kusisimua misuli nchini kenya (ADAK) limewahimiza wanariadha kuwa makini na dawa za dukani zisizo na ushauri wa daktari. Adak inasema baadhi ya bidhaa hutumika bila kujua zinaweza kuhatarisha taaluma za wanariadha.





