Back to home
Malava: Wakazi wahimiza wagombea kukubali matokeo ya uchaguzi
video
C
Citizen TV (Youtube)November 25, 2025
9h ago
Wakaazi wa malava sasa wamewataka wagombea wote saba wa uchaguzi mdogo wa ubunge eneobunge hilo kukubali matokeo ya uchaguzi wakisema kuwa wana imani na IEBC kuendesha uchaguzi wa haki. Aidha msimamizi wa IEBC eneo bunge hilo Salim Abdalla amewahakikishia wakaazi kwamba uchaguzi





