Back to home

Viongozi wa serikali ya Embu watoa madai ya vurugu kutoka upinzani kwenye uchaguzi mdogo kesho

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 26, 2025
2mo ago
Katika eneo bunge la Mbeere North, viongozi wanaoegemea upande wa serikali kaunti ya Embu wakiongozwa na mwenyekiti wa UDA Cecily Mbarire wamedai kuwa viongozi wa upinzani wanapanga kuzua vurugu hapo kesho. Madai haya yakijiri huku usalama ukiimarishwa na maafisa wa polisi wakiwe

More on this topic

Officials Assure Security and Warn Against Violence in Upcoming By-Elections - November 2025

Kenya's Minister of Interior, Kipchumba Murkomen, has assured voters of their safety during tomorrow's by-election and issued a stern warning against any planned disruptions. Murkomen also issued a stern warning to politicians against transporting criminals to the Kasipul elections. Separately, Baringo County Commissioner Stephen Kutwa assured residents of their safety during the senatorial by-election. Security measures have been heightened in several areas, with a heavy police presence reported in Kasipul and heightened security in Ang'ata Nanyokie ward and Ugunja. Authorities have warned that all election-related offenses will now be punishable by law. In Embu County, UDA Chairman Cecily Mbarire alleged that opposition leaders are planning to incite violence in the Mbeere North by-election.

8 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement