Back to home
Mpusia ndiye MCA Purko kaunti ya Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)November 28, 2025
2w ago
Viongozi wa chama cha UDA sasa wanadai kuwa chama hicho kina umaarufu mkubwa katika kaunti ya Kajiado baada ya kushinda uchaguzi mdogo wa wadi ya Purko ambao ulikuwa na ushindani mkali kati yao na chama cha DCP.
Advertisement
Advertisement





