Back to home

Rais Ruto asifiwa ubabe wake wa kisiasa kufuatia chaguzi ndogo zilizofanyika hapo jana

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 28, 2025
2h ago
Rais William Ruto amesifia ubabe wake na wa chama cha UDA kufuatia chaguzi ndogo zilizofanyika hapo jana, akisema ushindi huo unaashiria imani ya wakenya kwake kwani ana ajenda ya kuwafaidi. Rais aliongoza sherehe za ushindi akisema kwamba ushindi huo unaashiria atawabwaga wapinz