Back to home
Wakazi karibu na ziwa Victoria watakiwa kutunza mazingira
video
C
Citizen TV (Youtube)December 1, 2025
1h ago
Wakazi wanaopakana na ziwa Viktoria sasa wametakiwa kuzingatia usafi wa mazingira ili kuhifadhi ubora wa ziwa hilo. Akizingumza wakati wa ufunguzi rasmi wa makao makuu ya LVBC huko Kisumu, waziri Beatrice Askul alitaja umuhimu wa ziwa hilo katika uchumi wa taifa kutokana na uvuvi




