Back to home
Wakazi wa Miungoni kaunti ya Kwale waandamana kuhusu mzozo wa ardhi
video
C
Citizen TV (Youtube)December 9, 2025
1d ago
Wakazi wa Miungoni eneobunge la Lungalunga kaunti ya Kwale wameandamana wakishinikiza serikali kutekeleza ripoti ya bunge ya mwaka jana iliopendekeza kugawanywa kwa ardhi inayozozaniwa na wakazi na mwekezaji mmoja wa kibinafsi eneo hilo.
Advertisement
Advertisement



