Back to home

Kaunti ya Homa Bay yazindua makao ya waathiriwa wa jinsia

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 10, 2025
1h ago
Serikali ya kaunti ya Homa Bay imefungua rasmi kituo cha kuwahifadhi waathiriwa wa dhuluma za kijinsia maarufu, Ndhiwa Safehouse , kwa ushirikiano na Shirika la SHOFCO.
Advertisement