Back to home

Serikali ya Kaunti ya Mombasa yazindua mpango wa kutoa ajira kwa vijana

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 15, 2025
1mo ago
Serikali ya Kaunti ya Mombasa imezindua mpango wa kutoa mafunzo kwa vijana ili kujiajiri na kukabiliana na changamoto ya usalama katika kaunti hiyo.
Advertisement