Back to home

Afya ya uzazi Kakamega

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 16, 2025
4h ago
Gavana wa Kakamega, Fernandes Barasa, ametangaza kuwa zahanati sasa zitaruhusiwa kutoa huduma za uzazi chini ya bima ya Afya ya Jamii, SHA. Akizungumza wakati wa mahafali ya pili ya Chuo cha Matibabu cha FAFA huko Matungu, Barasa alisema hatua hiyo itaongeza upatikanaji wa huduma
Advertisement