Back to home
Wakazi wa Nyaibasa Kisii walalamika barabara kufungwa
video
C
Citizen TV (Youtube)December 16, 2025
4h ago
Wakazi wa kijiji cha Nyaibasa, kule Baasi Nyamache kaunti ya Kisii wameandamana baada ya watu mashuhuri serikalini kulima na kufunga barabara wanayodai ilitengenezwa na serikali ya kaunti ya Kisii kusaidia kurahihisha shughuli za usafiri
Advertisement
Advertisement





