Back to home

Familia Kakamega yaomboleza jamaa walioaga dunia

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 16, 2025
3h ago
Watu kumi waliofariki kwenye ajali katika eneo la Kodada walikuwa wamehudhuria harusi kaunti ya Kakamega kabla ya kukumbuna na mauti . Hata hivyo, sasa kijiji cha Sichirai kaunti ya Kakamega, walikotoka jamaa na wanakwaya waliofariki kimegeuza sherehe kuwa mazishi. Bwana harusi
Advertisement