Back to home

Wataalamu wa afya ya akili waandaa matembezi Jijini Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
December 22, 2025
2h ago
Kundi moja linalojihusisha na kuhamasisha umma kuhusu afya ya akili liliandaa matembezi ya uhamasisho kuhusu maradhi ya hisia zinazobadilikabadilika yaani Bipolar hapa Jijini Nairobi.
Advertisement