Back to home
Wakazi wa Kajiado Magharibi wanaishi kwa hofu ambapo ndovu wanaendelea kuwauwa wakazi eneo hilo
video
C
Citizen TV (Youtube)December 24, 2025
2h ago
Hali ya wasiwasi inaendelea kugubika eneo la Kajiado Magharibi baada ya Ndovu kuwakanyaga na kuwaua watu wanne chini ya wiki moja. Inaarifiwa ukame unaoendelea katika eneo hilo umesabisha Ndovu zaidi ya 300 kurandaranda wakitafuta maji na malisho na hivyo kuongeza migogoro baina
Advertisement
Advertisement





