Back to home
Zaidi ya nusu ya wakenya hawatasherehekea Krismasi ambapo gharama ya maisha yatia maji sikukuu
video
C
Citizen TV (Youtube)December 24, 2025
2h ago
Zaidi ya nusu ya wakenya hawatasherehekea sikukuu ya krismasi mwaka huu. Utafiti uliofanywa na shirika la INFOTRAK umebaini kuwa wakenya wengi hawana uwezo wa kuandaa maankuli na sherehe za krismasi, wengi wao wakisema watasalia nyumbani na familia zao tu.
Advertisement
Advertisement





