Back to home
| MWAKA WANGU | Bwawa Kuu La Ethiopia
video
C
Citizen TV (Youtube)December 26, 2025
3h ago
Limetajwa kuwa bwawa kubwa zaidi barani Africa, lenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya megawati elfu sita za umeme. Ni Bwawa la "Ethiopian Grand renaissance dam" lililojengwa kwenye mto wa Blue Nile nchini Ethiopia. Bwawa hilo limeleta matumaini kwa nchi hiyo sio tu kujitosheleza kwa
Advertisement
Advertisement





