Back to home
Mwanaume ashtakiwa kwa kumtilia 'dawa', kumuibia kiongozi wa wengi wa kaunti ya Kirinyaga Sh659,720
video
N
NTV Kenya (Youtube)January 1, 2026
3h ago
Mwanaume mmoja amefikishwa katika mahakama ya Wang’uru, kaunti ya Kirinyaga akikabiliwa na mashtaka ya kumtilia tembe za kumzubaisha kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti hiyo Benson Waweru na kumuibia Sh659,720.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news tod
Advertisement
Advertisement




