Back to home
Familia zaomboleza jamaa zao waliofariki katika ajali ya barabara Machakos
video
C
Citizen TV (Youtube)January 4, 2026
2d ago
Familia saba zimetambua maiti za jamaa zao waliofariki ijumaa usiku kwenye ajali ya barabarani eneo la Katumani, kaunti ya Machakos. Ajali hiyo ilitokea baada ya basi la abiria kugongana na matatu usiku wa ijumaa.
Advertisement
Advertisement





